Ndugu na Rafiki yangu Tunapokaribia kushuhudia tukio la kipekee la ndoa yangu
Napenda kukuomba kwa upendo na heshima mchango wako katika harusi yangu itakayofanyika Dar es Salaam, Ukumbi wa Mlimani City tarehe 13 Dec, 2025
Mchango wako ni baraka kubwa kwangu na utanisaidia kufanya siku hii iwe ya furaha na kumbukumbu
Michango itapokelewa kupitia akaunti zifuatazo
Mahemba Mussa Bekha – 0152301557600 (CRDB)
Mahemba Mussa Bekha – 0755074421 (M-Pesa)